Ratiba ya Ngao ya Jamii 2025/2026 – Yanga vs Simba
Ngao ya Jamii 2025/2026
Mechi ya ufunguzi wa msimu wa NBC 2025/26: Young Africans SC (Mabingwa 2024/25) dhidi ya Simba SC (Wasubiri/runner-up).
# | Mechi | Uwanja | Mji | Tarehe | Saa (EAT) |
---|---|---|---|---|---|
1 |
Young Africans SC
vs
Simba SC
Fainali
|
Benjamin Mkapa Stadium | Dar es Salaam | 16 Sept 2025 | TBC |
Maelezo: TFF imerudisha muundo wa mechi moja ya Ngao ya Jamii (mabingwa wa ligi vs wapinzani wao wakuu). Saa ya mchezo itatangazwa na waandaaji/TV.