Close Menu
wikihii.comwikihii.com
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
Facebook X (Twitter) Instagram
wikihii.comwikihii.com
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
Facebook YouTube WhatsApp
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
wikihii.comwikihii.com
Home » Makala
Makala

Jinsi ya kufungua facebook page na utaratibu wa kulipwa.

Updated:April 17, 20252 Mins Read
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Jinsi ya kufungua facebook page na utaratibu wa kulipwa.
Jinsi ya kufungua facebook page na utaratibu wa kulipwa.
Share
Facebook Telegram WhatsApp Copy Link

Facebook wameanzisha utaratibu wa malipo kuwalipa content creators watakaotimiza vigezo na masharti ya META kampuni mama ya facebook, Meta wanalipa kupitia Facebook Pages au Facebook Proffesional Account, kinachotakiwa ni kutimiza vigezo ambavyo vinatofautiana kwa Pages na Proffesional Mode.

  • Kila mtu anaweza kumiliki Facebook Page au Facebook Proffesional Account
  • Jinsi ya kufungua Facebook Proffesional Account
  • Jinsi ya kufungua Facebook Page
  • Jinsi ya kulipwa na facebook

Kila mtu anaweza kumiliki Facebook Page au Facebook Proffesional Account

Kwenye Facebook Page au Facebook Proffesional Account unaruhusiwa kuweka maudhui (videos) ya aina yeyote ile ilimradi yasipingane na sheria za kupost videos/picha/maneno facebook, facebook hawaruhusu maudhui ya ngono, mauaji, na mambo ya hatari ambayo facebook wameelezea HAPA

Kila mtu ana uwezo ktk jambo fulani ambalo anaweza kulizungumzia au kulifanya akiwa LIVE au Akijirekodi iwe ni kutoa ELIMU fulani, Maelekezo fulani, Utaratibu fulani, Historia fulani, au Jambo lolote lile liwe la Kuelimisha au Kufurahisha/Kuchekesha haijalishi ilimradi usivunje zile sheria za Facebook na za nchi pia.

Soma Hii: Jinsi ya kufungua youtube channel na utaratibu wa kulipwa

Kila mtu anaweza kufanya hii kitu kwa sababu kila mwanadamu kuna sekta anaifahamu na anaweza kumuelewesha mwingine aelewe pia, kama wewe ni msusi wa nywele, mfugaji wa kuku, mkulima, mpishi, muuza duka, fundi nyumba au nyingine yeyote ile fahamu kwamba hakuna kinachokuzuia kumiliki biashara ya facebook page au proffesional account na kuanza kupost contents.

Jinsi ya kufungua Facebook Proffesional Account

Proffesional account ni rahisi sana ki msingi kama tayari unayo account ya kawaida facebook basi unachotakiwa kufanya ki kwenda kwenye settings the tafuta sehemu iliyoandikwa TURN ON PROFFESIONAL MODE ukibofya hayo maneno utakuwa tayari umefanikiwa kujiunga kwenye FB-Proffesional Mode na ukishabofya hapo kama imekubali unatakiwa uanze kuona analytics za contents zako facebook

Jinsi ya kufungua Facebook Page

Kufungua facebook Page nenda kwenye account yako kushoto uki scroll kwenda chini angalia sehemu itakayokuwa imeandikwa PAGES, Utabonyeza hapo kisha zitatokea options kama vile Manage Pages na Create New Page, utabonyeza Create New Page na hapo utajaza informations kama majina ya page yako picha (profile, cover)

Jinsi ya kulipwa na facebook

Ili kuanza kulipwa utaratibu unatofautiana kdg kwa Page na Proffesional mode Kwa Pages unatakiwa kuwa na Followers kuanzia 10,000 na masaa ambayo watu wameangalia contents zako, wakati kwenye Facebook Proffesional Mode unatakiwa kuwa na Followers zaidi ya 1000 tu na masaa kadhaa ambayo unayapata kwenye videos zako

Follow on Facebook Follow on YouTube Follow on WhatsApp Follow on Telegram
Share. Facebook Telegram WhatsApp Copy Link
Previous ArticleJinsi ya kufungua youtube channel na utaratibu wa kulipwa
Next Article Jinsi ya kuangalia deni la gari

MAKALA ZINAZOHUSIANA

JINSI YA KUOMBA MKOPO WA MWAJIRIWA NMB BANK

June 3, 2025

Jinsi ya Kujiunga na GPSA Tanzania (Hatua kwa Hatua)

June 2, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo ESS Utumishi (Mfumo wa Employee Self Service)

June 1, 2025

Jinsi ya Kuangalia Password ya Email Yako (Kwa Gmail, Outlook na Yahoo)

June 1, 2025

Jinsi ya Kutumia Excel Kwa haraka

June 1, 2025

Jinsi ya Kusoma Bila Kusahau – Mbinu Bora za Kukuza Kumbukumbu na Ufahamu

June 1, 2025
Biashara
Biashara

Makampuni Yanayouza Hisa ktk Soko la Dar es salaam Stock Exchange (DSE)

By Wikihii MediaJune 3, 20250

Makampuni Yanayouza Hisa ktk Soko la DSE – Dar es salaam Stock Exchange Uwekezaji katika…

Jinsi ya Kuagiza Bidhaa Kutoka Alibaba (China) Hatua kwa Hatua

June 3, 2025

Aina za mikopo CRDB Bank | Mikopo ya CRDB

June 3, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo CRDB Bank

June 3, 2025

JINSI YA KUOMBA MKOPO NMB KWA WAJASIRIAMALI

June 3, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo wa Halmashauri (10% kwa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu)

June 3, 2025

wikihii media

  • Disclaimer
  • Kuhusu wikihii
  • Sera ya faragha
  • Sheria ya Matumizi
  • Wasiliana na wikihii

Wikihii Services

  • Michezo
  • Forex Tanzania
  • Leo ktk Historia
  • Kipimo cha Mimba
  • Matokeo ya Mtihani

Wikihii Newsletter

Subscribe kwenye email list wikihii kupata Updates za Ajira punde tu Mara baada ya Ajira kutangazwa.

© 2025 wikihii.com Designed by Wikihii Media.
  • Cookies Policy
  • Wordpress Website Service

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.

Ad Blocker Enabled!
Ad Blocker Enabled!
Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors. Please support us by disabling your Ad Blocker.