Close Menu
wikihii.comwikihii.com
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
Facebook X (Twitter) Instagram
wikihii.comwikihii.com
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
Facebook YouTube WhatsApp
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
wikihii.comwikihii.com
Home » Makala
Makala

Jinsi ya ku renew leseni ya dereva

Updated:April 17, 20252 Mins Read
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Jinsi ya ku renew leseni ya dereva
Jinsi ya ku renew leseni ya dereva
Share
Facebook Telegram WhatsApp Copy Link

Kuendesha magari unatakiwa kuwa na leseni iliyo HAI, Leseni kwa kawaida huwa ina expire/kuisha muda wake wa matumizi kila baada ya miaka mitano (5). madereva wote magari makubwa kwa madogo wanatakiwa kufuata huu utaratibu wa kurenew leseni pindi zinapokuwa zimeisha muda wa matumizi barabarani

Kwenye hii article tunajadili utaratibu unaotumika kurenew leseni za udereva kwa madereva wote magari makubwa kwa madogo,

Vitu muhimu katika kurenew leseni

Kurenew leseni kubna vitu muhimu ambavyo unatakiwa kuwa navyo Ili ukienda TRA kurenewe usi[pate usumbufu kuhusu documents za muhimu zinazohitajika.

  • Kitambulisho Cha Taifa
  • Picha za pasport za wakati huo
  • Leseni ya udereva (Iliyokwisha)
  • Baada ya kukamilisha vifaa hivi hatua inayofuata ni kutembelea Ofisi za TRA

Tembelea ofisi za TRA tanzania Mkoa wowote ukiwa na documents zote kama tulivyoainisha hapo juu

Ukifika TRA na documents zote muhimu basi kuna Fomu watakupa uijaze, Lkn pia hii Fomu unaweza kuipata Mtandaoni (ukadownload) na kwenyewe pia ukidownload unajaza kisha unaenda kwenye ofisi ya TRA karibu na wewe ukiwa na Fomu yako uliyopakua online ukaijaza kisha unakuwa na viambatanisho muhimu kama tulivyoainisha paragraph ya kwanza.

Gharama za ku renew Leseni

Gharama (TZS)Muda wa kuishi leseni
Tsh 70,000Miaka mitano (5)

Ukimaliza mchakato wa kuwasilisha fomu pamoja na viambatanisho au documents zako hakikisha umelipia pesa taslim kwenye account ya serikali ambayo utaiona kwenye fomu yako, SASA hapo utapewa risiti na utapangiwa tarehe amabyo kitambulisho chako kipya kitakuwa tayari.

Follow on Facebook Follow on YouTube Follow on WhatsApp Follow on Telegram
Share. Facebook Telegram WhatsApp Copy Link
Previous ArticleJinsi ya kuwa mweupe kwa njia asili
Next Article Jinsi ya kufungua youtube channel na utaratibu wa kulipwa

MAKALA ZINAZOHUSIANA

JINSI YA KUOMBA MKOPO WA MWAJIRIWA NMB BANK

June 3, 2025

Jinsi ya Kujiunga na GPSA Tanzania (Hatua kwa Hatua)

June 2, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo ESS Utumishi (Mfumo wa Employee Self Service)

June 1, 2025

Jinsi ya Kuangalia Password ya Email Yako (Kwa Gmail, Outlook na Yahoo)

June 1, 2025

Jinsi ya Kutumia Excel Kwa haraka

June 1, 2025

Jinsi ya Kusoma Bila Kusahau – Mbinu Bora za Kukuza Kumbukumbu na Ufahamu

June 1, 2025
Biashara
Biashara

Makampuni Yanayouza Hisa ktk Soko la Dar es salaam Stock Exchange (DSE)

By Wikihii MediaJune 3, 20250

Makampuni Yanayouza Hisa ktk Soko la DSE – Dar es salaam Stock Exchange Uwekezaji katika…

Jinsi ya Kuagiza Bidhaa Kutoka Alibaba (China) Hatua kwa Hatua

June 3, 2025

Aina za mikopo CRDB Bank | Mikopo ya CRDB

June 3, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo CRDB Bank

June 3, 2025

JINSI YA KUOMBA MKOPO NMB KWA WAJASIRIAMALI

June 3, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo wa Halmashauri (10% kwa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu)

June 3, 2025

wikihii media

  • Disclaimer
  • Kuhusu wikihii
  • Sera ya faragha
  • Sheria ya Matumizi
  • Wasiliana na wikihii

Wikihii Services

  • Michezo
  • Forex Tanzania
  • Leo ktk Historia
  • Kipimo cha Mimba
  • Matokeo ya Mtihani

Wikihii Newsletter

Subscribe kwenye email list wikihii kupata Updates za Ajira punde tu Mara baada ya Ajira kutangazwa.

© 2025 wikihii.com Designed by Wikihii Media.
  • Cookies Policy
  • Wordpress Website Service

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.

Ad Blocker Enabled!
Ad Blocker Enabled!
Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors. Please support us by disabling your Ad Blocker.