Close Menu
wikihii.comwikihii.com
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
Facebook X (Twitter) Instagram
wikihii.comwikihii.com
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
Facebook YouTube WhatsApp
  • Home
  • Makala
  • Elimu
  • Biashara
  • Michezo
wikihii.comwikihii.com
Home » Makala
Makala

Nafasi za Kazi Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ)

Ajira Jeshi la wananchi
Updated:April 16, 20253 Mins Read
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Nafasi za Kazi Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ)
Nafasi za Kazi Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ)
Share
Facebook Telegram WhatsApp Copy Link

Nafasi za Kazi Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ)

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kwa kushirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linakaribisha maombi kutoka kwa vijana wa Kitanzania waliotayari kulitumikia taifa kupitia jeshi kwa mwaka 2025.

Huu ni mwaliko rasmi kwa vijana wote waliokidhi vigezo, kuwasilisha maombi yao kufuata utaratibu uliowekwa na Makao Makuu ya TPDF.

Maelekezo ya Jumla kwa Waombaji:

Waombaji wote wanatakiwa kuandika barua rasmi ya maombi, ikieleza dhamira ya kujiunga na JWTZ.

Nyaraka za Kuambatisha:

  • Cheti cha kuzaliwa
  • Vyeti vya elimu (Kidato cha Nne/Kidato cha Sita/Vyuo)
  • Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
  • Picha ndogo (passport size)

NB: Waombaji wote watajulishwa tarehe ya usaili baada ya uchambuzi wa awali wa nyaraka.

Sifa za Kujiunga na JWTZ:

  • Awe Raia wa Tanzania
  • Awe na elimu ya kuanzia Kidato cha Nne na awe amefaulu
  • Awe hajaoa wala hajaolewa
  • Umri uwe kati ya miaka 18 hadi 25
  • Awe na tabia njema na mwenendo mzuri
  • Awe na afya njema ya mwili na akili

Nafasi za Maafisa (Officer Cadet):

Kwa wale waliomaliza Kidato cha Sita na kuendelea, wanaweza kuwania nafasi za mafunzo ya Uafisa.

  • Uchaguzi hufanywa na Officers Selection Board
  • Watakaochaguliwa watapewa hadhi ya Afisa Mwanafunzi (Officer Cadet)
  • Mafunzo yatafanyika katika Tanzania Military Academy (TMA) kwa kipindi cha mwaka mmoja

Anuani ya Kutuma Maombi:

Tanzania People’s Defense Force (TPDF)
P.O. Box 194
Miyubi / Msalato
Dodoma – Tanzania

Chini ni sample barua ya kuomba Nafasi za Kazi Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ)

Barua_Maombi_JWTZ_2025_LOGODownload

Maswali yanayoulizwa sana kuhusu Nafasi za Kazi Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ) /FAQs

Ninaweza kuomba ikiwa nimeoa/nimeolewa?

Hapana. Moja ya vigezo muhimu ni kuwa hujaoa wala kuolewa wakati wa kuomba nafasi hizi

Je, umri ukizidi miaka 25 na bado niko katika hali nzuri kiafya, naweza kuomba?

Samahani, umri wa mwisho ni miaka 25 kwa waombaji wapya. Ikiwa umevuka umri huo, huwezi kuendelea na maombi haya.

Vyeti vya awali vinatakiwa kuwa na alama fulani?

Ndiyo, unatakiwa uwe umefaulu angalau kwa kiwango kinachokubalika na wizara ya elimu. Hii ni pamoja na ufaulu wa masomo ya msingi ya sekondari.

Maombi yanatumwa kwa njia ya mtandao au kwa posta?

Kwa sasa, maombi yanatumwa kwa njia ya barua ya kawaida kupitia anuani ya posta iliyoainishwa:
TPDF, P.O. Box 194, Miyubi / Msalato, Dodoma – Tanzania

Nitatumiwa lini taarifa ya usaili?

Baada ya uchambuzi wa awali wa nyaraka zako, utapokea taarifa rasmi ya tarehe na sehemu ya usaili kupitia njia utakayoainisha kwenye barua yako (anwani au simu).

Je, wanawake wanaruhusiwa kuomba?

Ndiyo. Vijana wa kike na wa kiume wote wanaruhusiwa kuomba, alimradi watimize vigezo vyote vilivyowekwa.

Mafunzo ya maafisa (Officer Cadet) yanafanyika wapi?

Mafunzo haya hufanyika katika Chuo cha Kijeshi cha Tanzania (Tanzania Military Academy – TMA) kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Download maswali yanayoulizwa sana kuhusu Nafasi za Kazi Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ)

FAQs_Uandikishaji_JWTZ_JKT_2025_LOGODownload

Follow on Facebook Follow on YouTube Follow on WhatsApp Follow on Telegram
Share. Facebook Telegram WhatsApp Copy Link
Previous ArticleMajina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha 5: Form five selection 2025
Next Article Tiba ya Uume Legelege – Fahamu Sababu, Dalili na Njia za Kutibu kwa Asili

MAKALA ZINAZOHUSIANA

JINSI YA KUOMBA MKOPO WA MWAJIRIWA NMB BANK

June 3, 2025

Jinsi ya Kujiunga na GPSA Tanzania (Hatua kwa Hatua)

June 2, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo ESS Utumishi (Mfumo wa Employee Self Service)

June 1, 2025

Jinsi ya Kuangalia Password ya Email Yako (Kwa Gmail, Outlook na Yahoo)

June 1, 2025

Jinsi ya Kutumia Excel Kwa haraka

June 1, 2025

Jinsi ya Kusoma Bila Kusahau – Mbinu Bora za Kukuza Kumbukumbu na Ufahamu

June 1, 2025
Biashara
Biashara

Makampuni Yanayouza Hisa ktk Soko la Dar es salaam Stock Exchange (DSE)

By Wikihii MediaJune 3, 20250

Makampuni Yanayouza Hisa ktk Soko la DSE – Dar es salaam Stock Exchange Uwekezaji katika…

Jinsi ya Kuagiza Bidhaa Kutoka Alibaba (China) Hatua kwa Hatua

June 3, 2025

Aina za mikopo CRDB Bank | Mikopo ya CRDB

June 3, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo CRDB Bank

June 3, 2025

JINSI YA KUOMBA MKOPO NMB KWA WAJASIRIAMALI

June 3, 2025

Jinsi ya Kuomba Mkopo wa Halmashauri (10% kwa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu)

June 3, 2025

wikihii media

  • Disclaimer
  • Kuhusu wikihii
  • Sera ya faragha
  • Sheria ya Matumizi
  • Wasiliana na wikihii

Wikihii Services

  • Michezo
  • Forex Tanzania
  • Leo ktk Historia
  • Kipimo cha Mimba
  • Matokeo ya Mtihani

Wikihii Newsletter

Subscribe kwenye email list wikihii kupata Updates za Ajira punde tu Mara baada ya Ajira kutangazwa.

© 2025 wikihii.com Designed by Wikihii Media.
  • Cookies Policy
  • Wordpress Website Service

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.

Ad Blocker Enabled!
Ad Blocker Enabled!
Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors. Please support us by disabling your Ad Blocker.